Raia wa Burundi wafurahishwa na kufunguliwa mpaka wa Rwanda.
Raia Wa Burundi wamefurahishwa na hatua ya Serikali yao kufungua mpaka na kuwaruhusu kuingia tena nchini Rwanda.
Wiki iliyopita Serikali ya Burundi ilifungua mipaka yake ya ardhini na Rwanda baada ya miaka 7 ya uhasama Wa kisiasa kati ya nchi hizo mbili.
Hata hivyo licha ya kufunguliwa kwa mpaka huo bado shughuli za biashara mpakani zinasuasua huku idadi ya Warundi wanaovuka ikionekana kuwa bado ni ndogo.
Serikali ya Burundi inasisitiza kuwa uhusiano kamili baina ya nchi mbili utarejea hadi pale Rwanda itakapokabidhi waliotaka kufanya jaribio la kuipindua serikali ya Burundi mwaka 2015
Mwandishi wa BBC @yvesbucyana ametuandalia taarifa ifuatayo
#bbcswahilileo #rwanda #burundi
23 Aug 2025
- Driving a PSV without a PSV license or operating as a conductor of a PSV without a license attracts a fine not exceeding Ksh50,000.
23 Aug 2025
- Kenyans have been advised to consider the notice as urgent.
23 Aug 2025
- Ruto made these appointments in a bid to shape the future direction of the country's police service oversight.
24 Aug 2025
- DCP's interim office holders, save for Deputy Party Leader Cleophas Malala, have remained largely colourless.
24 Aug 2025
- Human rights lawyers and activists have sued the government of Eswatini for making a secretive deal with President Donald Trump's administration to accept third-country deportees from the U.S., which they claim was unconstitutional.
24 Aug 2025
- At least 15 people sustained injuries on Saturday, August 23, 2025, following a road traffic accident involving a
24 Aug 2025
- Nominated Senator Karen Nyamu set social media abuzz after sharing stunning photos from Jubilee-nominated Member of Parliament (MP)
24 Aug 2025
- A Gambian man who was part of an armed unit run by former dictator Yahya Jammeh and was convicted of torture by a U.S. jury in April has been sentenced to more than 67 years in prison, the U.S. Justice Department, opens new tab said on Friday.
24 Aug 2025
- A family in Nairobi’s Pipeline estate is reeling after the brutal murder of their kin, killed in cold blood by her husband.
24 Aug 2025
- President's charade on Parliamentary bribery is distraction from self guilt
24 Aug 2025
- Goons paradise: Thuggery thrives while the State watches in silence
24 Aug 2025
- Experts deployed to boost Ruto Mt Kenya popularity
24 Aug 2025
- Why Ruto, MPs standoff over graft is good news for Kenyans