- 1,643 viewsRais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi amemteua aliyekuwa makamu wa rais wa nchi hiyo Jean-Pierre Bemba, ambaye alikuwa gerezani kwa zaidi ya miaka 10 kwa uhalifu wa kivita, kuwa waziri wa ulinzi wa nchi hiyo katika mabadiliko makubwa kwenye serikali. Uteuzi wake ulikuwa sehemu ya mabadiliko makubwa ya maafisa 57 wa serikali, ambayo msemaji wa rais alisema ni ya "haraka na lazima", katika tangazo kupitia kituo cha televisheni ya taifa ya Kongo. Rais huyo pia amemteua Vital Kamerhe, mkuu wake wa zamani wa utawala, ambaye aliachiliwa kutoka gerezani mwezi Desemba 2021 baada ya kupatikana na hatia ya ubadhirifu, wakati alipokuwa waziri wa Fedha. Kamerhe Juni mwaka 2022 alifutiwa mashtaka yote baada ya kukataa rufaa dhidi ya mashtaka hayo. Mabadiliko hayo, ambayo yalikuwa makubwa zaidi kuliko ilivyotabiriwa, yamekuja kabla ya uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika Desemba 20, ambapo Tshisekedi anatarajiwa kuwania muhula wa pili. #felixtshisekedi #vitalkamerhe #JeanPierreBemba #drc #mawaziri #uteuzi #congo #voa #voaswahili #dunianileo #rais - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Raia wa DRC aeleza faida ya uteuzi wa Kamerhe kuwa Waziri
- 18 Apr 2024 - Pakistan's interior ministry said on Wednesday it had blocked access to social media platform X around the time of February's election on national security concerns, confirming a long-suspected shutdown.
- 18 Apr 2024 - Three Russian missiles slammed into the city centre of Chernihiv in northern Ukraine on Wednesday, killing at least 17 people, wounding dozens more and damaging civilian buildings, officials said.
- 18 Apr 2024 - Israel will make its own decisions about how to defend itself, Prime Minister Benjamin Netanyahu said on Wednesday, as Western countries pleaded for restraint in responding to a volley of attacks from Iran.
- » Drama in Turkana after KDF soldiers who slapped, disarmed and ordered police officer to kneel arrested18 Apr 2024 - There was drama at Lodwar Police Station as Kenya Defence Forces (KDF) soldiers engaged in a bitter confrontation with police officers for arresting four of their colleagues.
- 18 Apr 2024 - A storm hit the United Arab Emirates and Oman this week bringing record rainfall that flooded highways, inundated houses, grid-locked traffic and trapped people in their homes.
- 18 Apr 2024 - Sweden's parliament on Wednesday passed a law that will make it easier for people to change their legal gender and lower the age at which it is allowed to 16 years from 18 years, despite heavy criticism from within the government coalition.
- 18 Apr 2024 - The U.N. Palestinian refugee agency (UNRWA) said some of its staff members and other people detained by Israeli forces in Gaza were subjected to ill-treatment, including severe beatings and being forced to strip naked.
- 18 Apr 2024 - Intern teacher posting to junior school is illegal, court declares
- 18 Apr 2024 - Kenya to miss growth target on budget gaps and revenue leaks
- 18 Apr 2024 - Construction started in 2010 with an initial budget of Sh5.9 billion. This was later revised to Sh7.1 billion.