- 649 viewsRais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi amemteua aliyekuwa makamu wa rais wa nchi hiyo Jean-Pierre Bemba, ambaye alikuwa gerezani kwa zaidi ya miaka 10 kwa uhalifu wa kivita, kuwa waziri wa ulinzi wa nchi hiyo katika mabadiliko makubwa kwenye serikali. Uteuzi wake ulikuwa sehemu ya mabadiliko makubwa ya maafisa 57 wa serikali, ambayo msemaji wa rais alisema ni ya "haraka na lazima", katika tangazo kupitia kituo cha televisheni ya taifa ya Kongo. Rais huyo pia amemteua Vital Kamerhe, mkuu wake wa zamani wa utawala, ambaye aliachiliwa kutoka gerezani mwezi Desemba 2021 baada ya kupatikana na hatia ya ubadhirifu, wakati alipokuwa waziri wa Fedha. Kamerhe Juni mwaka 2022 alifutiwa mashtaka yote baada ya kukataa rufaa dhidi ya mashtaka hayo. Mabadiliko hayo, ambayo yalikuwa makubwa zaidi kuliko ilivyotabiriwa, yamekuja kabla ya uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika Desemba 20, ambapo Tshisekedi anatarajiwa kuwania muhula wa pili. #felixtshisekedi #vitalkamerhe #JeanPierreBemba #drc #mawaziri #uteuzi #congo #voa #voaswahili #dunianileo #rais - - - - - #VOASwahili - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Raia wa DRC atoa maoni yake juu ya uteuzi wa Bemba na Kamerhe
- 29 Mar 2024 - Lyrics have also become angrier and more self-obsessed over the last 40 years, the study found, reinforcing the opinions of cranky ageing music fans everywhere.
- 29 Mar 2024 - It comes with the Sun near the peak of its 11-year solar cycle, setting the stage for a breathtaking display: The corona will glow spectacularly from the Moon's silhouette along the path of totality, a corridor stretching from Mexico to Canada via the…
- 29 Mar 2024 - Deputy security minister Lyonel Calderon said the toll was provisional pending a "complete review of the entire penitentiary center," located in a city which has become a dangerous hub for the export of cocaine from neighboring countries.
- 29 Mar 2024 - The diocese of Carpi in northern Italy offered its full support for artist Andrea Saltini after what it condemned as an "unprecedented act of violence" ahead of the Christian holiday of Easter.
- 29 Mar 2024 - Farmers across the country will continue to access subsidized farm inputs like fertilizer and seeds during the Easter Holiday
- 29 Mar 2024 - A 48-year land row in Kiplombe and Kamagut areas of Uasin Gishu, pitting KDF and residents is coming to an end after the parties agreed on a land-sharing formula.
- 29 Mar 2024 - The war erupted after Hamas militants attacked Israel from Gaza on October 7, resulting in about 1,160 deaths -- mostly civilians -- according to an AFP tally based on official Israeli figures.
- 29 Mar 2024 - Corruption and lack of transparency are part of the main stumbling blocks to service delivery in the counties.
- 29 Mar 2024 - The nationwide industrial action by doctors entered its 15th day on Thursday with medics in Mombasa County taking to the streets in protest.
- 29 Mar 2024 - The government's message to farmers assuring them that fertilisers issued under the fertilizer subsidy program are good does not seem to have reassured farmers.