Skip to main content
Skip to main content

Raia wawili wa Somalia wakamatwa kwa kutoheshimu bendera

  • | Citizen TV
    1,300 views
    Duration: 1:13
    Raia wawili wa somalia walionaswa kwenye kamera wakiikosea heshima bendera ya kenya katika uga wa nyayo walifikishwa mahakamani kwa makosa ya kuwa nchini kinyume na sheria, kuharibu nembo ya umoja wa taifa na kuvuruga amani.