- 39 views
Kiongozi wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga amekosoa ubomozi wa nyumba zilizojengwa kwenye ardhi ya serikali katika eneo la Milimani, kaunti ya Kakamega ili kutoa fursa ya ujenzi wa nyunba za gharama nafuu. Raila anadai mradi huo umeghubikwa na usiri mkubwa kwani hakukuwa na vikao vya ushirikishi wa umma kabla ya uzinduzi wake na hivyo unapaswa kusitishwa kwa kuzingatia uamuzi wa mahakama uliosema kwamba ushuru wa nyumba unakiuka katoiba. Odinga anasisitza kwamba mapendekezo mengi ya ripoti ya kamati ya kitaifa ya mashauriano yanaweza kuafikia tu kupitia kura ya maamuzi, msimamo unaopingwa vikali na mrengo wa Kenya Kwanza.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Raila akosoa ubomozi wa nyumba Kakamega
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 9 May 2025 - Bill Gates pledged on Thursday to give away Ksh.25.8 trillion via his charitable foundation by 2045 and lashed out at Elon Musk, accusing the world's richest man of "killing the world's poorest children" through huge cuts to the U.S. foreign aid budget.
- 9 May 2025 - Kenya’s Ambassador to Belgium, Prof. Bitange Ndemo, has declined his appointment as the new Vice Chancellor of the University of Nairobi (UoN), citing procedural irregularities.
- 9 May 2025 - Former US president Joe Biden said Thursday he was not surprised Kamala Harris lost the 2024 election to Donald Trump and blamed her defeat on Republicans taking the "sexist route."
- 9 May 2025 - The EU on Thursday threatened to target US cars and planes among a raft of products worth 95 billion euros (Ksh.13.89 trillion) if negotiations with President Donald Trump's team fail to avert a trade war.
- 9 May 2025 - Former Kiambu governor wanted to be released from prison on bond pending hearing of his appeal
- 9 May 2025 - The latest accident adds to the number of road crashes witnessed across the country this week.
- 9 May 2025 - The CS has been summoned to appear before the panel on Thursday next week
- 9 May 2025 - Move comes as Kenya Power also claims billions in power dues
- 9 May 2025 - His appointment had been confirmed by the University of Nairobi Council.
- 9 May 2025 - Here is what you need to know to keep up to speed with today’s happenings. Reactions as new Pope is elected Reactions are expected following the election of the 267th Pope of the Catholic Church, set to serve until he dies in office. Robert Prevost, 69,…