- 3,762 views
Muungano wa upinzani umetangaza kuendeleza maandamano wiki ijayo wakati makataa ya siku 14 ulioipa serikali kupunguza gharama ya maisha yatakapokamilika. kwenye hafla ya mazishi ya Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa jamii ya Waluo Ker Willis Opiyo Otondi huko Nyahera kaunti ya Kisumu, Viongozi wa upinzani wamesema serikali ya William Ruto imepuuza matakwa yao ya kupunguzwa kwa gharama ya maisha. Viongozi hao wakiongozwa na kinara wa azimio Raila Odinga wameshutumu serikali kwa kufeli kutimiza ahadi ya kushusha gharama ya maisha.
Raila Odinga asema maandamano ya kuskuma serikali ishushe gharama ya Maisha itaanza wiki ijayo
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 3 May 2025 - US President Donald Trump posted on Friday a spoof picture of himself dressed as the pope on his Truth Social platform after joking that he would like to be the next Catholic pontiff.
- 3 May 2025 - The cardinals of the Catholic Church held their ninth in a series of near-daily meetings at the Vatican on Saturday ahead of the election of a new pope.
- 3 May 2025 - The Police Reforms Working Group-Kenya (PRWG-Kenya) has called for the Directorate of Criminal Investigations (DCI) to drop the charges against four film-makers who were arrested for allegedly publishing false information.
- 3 May 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has launched investigations into a saga involving the Busia County Government that allegedly set aside Ksh.200 million to purchase a piece of land, which Busia Senator Okiya Omtatah claims already belongs…
- 3 May 2025 - This is after the raiders learnt that GSU personnel who had been posted there were all moved
- 3 May 2025 - Conservation efforts boosted as government distributes water tanks to tree nurseries
- 3 May 2025 - The legacy of the Papacy and Pope Francis
- 3 May 2025 - Why Ruto's livestock vaccination campaign is drawing criticism from veterinarians
- 3 May 2025 - How biogas is transforming lives in rural villages of Kilifi County
- 3 May 2025 - Brian Okeyo: Bungoma's youthful engineer building a green future in organic farming