- 3,762 views
Muungano wa upinzani umetangaza kuendeleza maandamano wiki ijayo wakati makataa ya siku 14 ulioipa serikali kupunguza gharama ya maisha yatakapokamilika. kwenye hafla ya mazishi ya Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa jamii ya Waluo Ker Willis Opiyo Otondi huko Nyahera kaunti ya Kisumu, Viongozi wa upinzani wamesema serikali ya William Ruto imepuuza matakwa yao ya kupunguzwa kwa gharama ya maisha. Viongozi hao wakiongozwa na kinara wa azimio Raila Odinga wameshutumu serikali kwa kufeli kutimiza ahadi ya kushusha gharama ya maisha.
Raila Odinga asema maandamano ya kuskuma serikali ishushe gharama ya Maisha itaanza wiki ijayo
- - NTV Kenya LIVE ››
- - Duniani Leo ››
- 24 Jun 2025 - Ruto's Kenya Kwanza rattled by Gachagua's political resurgence.
- 24 Jun 2025 - Muite urges court to jail Ruto, top officials for IEBC gazette defiance
- 24 Jun 2025 - Lawyers reject claims linking Lagat to murder, ask for evidence
- 24 Jun 2025 - Report exposes systemic police abuses in 2024 youth protests
- 24 Jun 2025 - Kenya braces for new economic shocks as Israel-Iran war escalates
- 24 Jun 2025 - Why Kenya ended up on EU red list despite helping nab Sh12b tax fraud
- 24 Jun 2025 - State cracks down on harmful pesticides, bans 77 products
- 24 Jun 2025 - Judge blasts ARA for 'copy pasting affidavits, shoddy investigations'
- 24 Jun 2025 - How zero-tariff will fix Kenya-China trade imbalance
- 24 Jun 2025 - Treasury's quiet shift from grand Finance Bills to piecemeal amendments