- 19 views
Rais William Ruto amemwagiza waziri wa leba Florence Bore kuongoza mchakato wa kuongeza kiwango cha chini cha mishahara ya wafanyikazi kwa angalau asilimia sita kutokana na mchango wao muhimu katika ujenzi wa taifa. Rais aliyasema haya wakati sherehe za 59 za siku kuu ya leba katika bustani ya Uhuru jijini Nairobi alipokuwa akijibu ombi la katibu mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyikazi-COTU Francis Atwoli ambaye alikuwa akiomba nyongeza ya asilimia 22.5 ya kiwango cha chini cha mishahara ya wafanyikazi ili kuwakinga kutokana na hali ngumu za kiuchumi. Giverson Maina anatuarifu zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais aagiza mashauriano ya nyongeza ya 6% ya kiwango cha chini cha mishahara ya wafanyikazi
- - Duniani Leo ››
- 16 May 2024 - Nineteen people have been detained at Siaya Police Station following their arrest at a chang’aa den on charges of being drunk and disorderly.
- 16 May 2024 - A middle-aged man was on Wednesday evening electrocuted to death in the Ulanda area of Awendo, Migori County.
- 16 May 2024 - A 22-year-old man on Thursday morning escaped death by a whisker after his house burnt in a suspected arson incident at Abom village in Bondo, Siaya County.
- 16 May 2024 - Nigeria's headline consumer inflation accelerated to a new 28-year high in April, hitting 33.69% year-on-year, up from 33.20% in March, statistics agency data showed on Wednesday.
- 16 May 2024 - Ambassador Meg said the meeting would be good for engagements between the two countries
- 16 May 2024 - Gallant urged Netanyahu to declare publicly that Israel has no plans to take over civilian and military rule in Gaza.
- 16 May 2024 - The body had been swept downstream to the site where it was discovered by the public.
- 16 May 2024 - The program was started in 1980 and has been helping over 2 million learners annually.
- 16 May 2024 - The beneficiaries are from areas mapped by the county disaster management committee
- 16 May 2024 - The project started in 2016 but stalled three years ago