- 127 views
Rais William Ruto ameitaka wizara ya mawasiliano na teknolojia ihakikishe kuwa wakenya wote wana vitambulisho vya kidijitali, agizo ambalo linaashiria kurejea kwa huduma namba. rais ambaye ameagiza waziri wa mawasiliano Eliud Owalo kushughulikia mradi huo ameelezea haja ya wakenya kutambuliwa kidijitali kabla ya mwaka huu kutamatika huku akitoa hakikisho kuwa zaidi ya huduma elfu tano za serikali zitapatikana kupitia mfumo wa dijitali.
Rais aitaka wizara ya mawasiliano na teknolojia ihakikishe wakenya wana vitambulisho vya kidijitali
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 Matukio ››
- 26 Apr 2024 - A 35-year-old rape suspect is nursing a gunshot wound at Siaya County Referral Hospital after he was shot for attacking and seriously injuring a police constable in Alego/Usonga Sub-county.
- 26 Apr 2024 - The partnership with Acyberschool will train one million youth and help them thrive in the digital economy
- 26 Apr 2024 - Smoker gives up cigarettes for longer life, only to get hit by a bus
- 26 Apr 2024 - Lumumba Estate construction will see over 1,600 units developed to bridge the shortage of houses in the county
- 26 Apr 2024 - On Thursday, the family members were at the High Court for the hearing of case that has attracted eight lawyers
- 26 Apr 2024 - The government has launched a massive crackdown targeting illegal mining operations across Kenya with 32 illegal miners being nabbed on the first day.
- 26 Apr 2024 - The exchange rate has been fluctuating between Ksh130 and Ksh134 in recent days.
- 26 Apr 2024 - There was lack of clear mandate on who should run operations at the new terminal
- 26 Apr 2024 - Kiambu will have the biggest share of more than 70,000 housing units
- 26 Apr 2024 - "We ask our voters to be very peaceful, and desist from, violence and voter bribery."