- 75 views
Rais William Ruto amewashawishi wazazi wasiwaachie walimu majukumu yote ya malezi. Haya yanajiri baada ya ripoti ya jopo la kutathmini sekta ya elimu kuonyesha kuwa wazazi wengi wangependa kutohusishwa katika ufanikishaji wa mtaala wa CBC. Akiunga mkono mapendekezo yaliyowasilishwa kwake, rais Ruto amesema mabadiliko kidogo yatatekelezwa ili kuboresha mtaala huo, pia amefahamisha kuwa rasilimali zitawasilishwa kwa wakati ufaao ili kukamilisha ujenzi wa madarasa na maabara katika shule za msingi. Ripoti hiyo imeendelea kuibua hisia mseto miongoni mwa wazazi na wadau wa elimu kote nchini.
Rais ametaka wazazi wajihusishe na elimu ya wana wao
- 28 Mar 2024 - Wiper Democratic Movement Party Leader Kalonzo Musyoka has declared that President William Ruto will break the record of being a one-term President come the general elections in 2027.
- 28 Mar 2024 - A petition has been filed against Saboti Member of Parliament Caleb Amisi for allegedly failing to repay "soft loans" amounting to USD 60,300 (approx. Ksh.7.9 million) he took from a diplomat.
- 28 Mar 2024 - The Ministry of Health (MoH) has dismissed claims that the surge in respiratory illnesses in the country is due to the SARS-CoV-2 (COVID-19), attributing it to an increase in the swine flu influenza virus cases.
- 28 Mar 2024 - Two directors and three teachers of Joy Garden Primary School who had been arrested following the death of a pupil can now access the school.
- 28 Mar 2024 - President William Ruto has officially launched the WRC Safari Rally 2024 competition at the Kenyatta International Conventional Centre (KICC) in Nairobi.
- 28 Mar 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has lauded Sports as one of the major activities that is aiding the fight against illicit brew in the country.
- 28 Mar 2024 - Those set to benefit the most are select motorists and property owners.
- 28 Mar 2024 - No other country in the East African Community has a backup National Control Centre.
- 28 Mar 2024 - Defence Cabinet Secretary Aden Duale has said the government is committed to ending the dispute between the military and residents of Kamagut and Kiplombe in Uasin Gishu County.
- 28 Mar 2024 - Kenya will allow Uganda's state oil firm to import petroleum products through its port of Mombasa, its energy minister was quoted as saying in a local newspaper on Thursday, to end a row that had caused diplomatic problems between the two neighbours.