- 75 views
Rais William Ruto amewashawishi wazazi wasiwaachie walimu majukumu yote ya malezi. Haya yanajiri baada ya ripoti ya jopo la kutathmini sekta ya elimu kuonyesha kuwa wazazi wengi wangependa kutohusishwa katika ufanikishaji wa mtaala wa CBC. Akiunga mkono mapendekezo yaliyowasilishwa kwake, rais Ruto amesema mabadiliko kidogo yatatekelezwa ili kuboresha mtaala huo, pia amefahamisha kuwa rasilimali zitawasilishwa kwa wakati ufaao ili kukamilisha ujenzi wa madarasa na maabara katika shule za msingi. Ripoti hiyo imeendelea kuibua hisia mseto miongoni mwa wazazi na wadau wa elimu kote nchini.
Rais ametaka wazazi wajihusishe na elimu ya wana wao
- - Duniani Leo ››
- 10 Jul 2025 - Elon Musk-owned X's CEO Linda Yaccarino said on Wednesday she would step down from the role in a surprise move, just months after the social media platform was acquired by the billionaire's AI startup, xAI.
- 10 Jul 2025 - Nigerians seeking to travel to the United States on non-immigrant visas will now receive single-entry three-month permits, the U.S. Embassy in Nigeria said, rolling back the up to five-year, multiple-entry visas they enjoyed previously.
- 10 Jul 2025 - Russia pummelled Ukraine early on Wednesday with its largest missile and drone attack in more than three years of war, claiming to have targeted an airfield in a region bordering Poland.
- 10 Jul 2025 - The US government said Wednesday it subpoenaed Harvard University for records linked to students allegedly involved in a wave of pro-Palestinian student protests that the Trump administration labeled anti-Semitic.
- 10 Jul 2025 - President has also accused the Opposition of orchestrating a broader scheme to overthrow his government.
- 10 Jul 2025 - Supreme Court vs Sharia? Muslims split on inheritance for children born out of wedlock
- 10 Jul 2025 - Gachagua claims Ruto using terror charges, militia to muzzle dissent
- 10 Jul 2025 - Cement, rebars and boards listed among most counterfeited building materials
- 10 Jul 2025 - Businesses warn looting a threat to job creation and investments
- 10 Jul 2025 - Kenya, Tanzania border flagged as oil spill hotspot in new study