Skip to main content
Skip to main content

Rais asisitiza umuhimu wa uchumi wa majini

  • | Citizen TV
    295 views
    Duration: 1:39
    Rais William Ruto amesisitiza umuhimu wa uchumi wa majini katika uzalishaji wa chakula cha kutosha huku ulimwengu ukijiandaa kwa kongamano bahari litakalofanyika mwezi machi mwaka ujao