- 9 views
Afisi ya mwanasheria mkuu sasa inaweza kuajiri na kuwapandisha ngazi maafisa wake bila idhini ya tume ya kuajiri watumishi wa umma. Hii ni baada ya rais William Ruto kusaini mswada wa marekebisho ya sheria mbali mbali ili kubuni bodi ya ushauri katika afisi ya mwanasheria mkuu ambayo itashughulikia suala ya uhaba wa maafisa na masharti ya kazi kwa mawakili wa serikali. Aidha, rais Ruto amebadili siku kuu ya Utamaduni inayosherehekewa tarehe-10 Oktoba kila mwaka kuwa siku kuu ya Mazingira kuwezesha Wakenya kushiriki kikamilifu katika shughuli za uhifadhi wa mazingira.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais atia saini miswada mbalimbali kuwa sheria
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 13 Aug 2025 - A UK town applied for a High Court injunction on Tuesday to stop asylum seekers being housed in a local hotel, following protests, some of which turned violent.
- 13 Aug 2025 - The move aims to boost youth skills development and economic empowerment
- 13 Aug 2025 - Europe's car exporters are still struggling with uncertainty over U.S. tariffs despite last month's trade deal, Wallenius Wilhelmsen, the operator of one of the world's largest car-carrier fleets, told Reuters on Tuesday.
- 13 Aug 2025 - Air of normalcy surprises visitors expecting violent theatrics from patients.
- 13 Aug 2025 - Former first lady Kim Keon Hee denied all charges during a four-hour court hearing in Seoul on Tuesday.
- 13 Aug 2025 - Two suspects including a cop who had been detained were released
- 13 Aug 2025 - Murigi died while undergoing treatment at Thika Level 5 Hospital.
- 13 Aug 2025 - Armoured vehicles were spotted at urban centres and tourist sites around the US capital on Tuesday evening.
- 13 Aug 2025 - The Sh2.9 billion project began in 2019 during former President Uhuru Kenyatta’s administration.
- 13 Aug 2025 - Mr Gachagua is attempting to establish a narrative that the world should prepare for an opposition victory in 2027.