Skip to main content
Skip to main content

Rais awatumia Wakenya ujumbe wa Krismasi na mwaka mpya

  • | KBC Video
    325 views
    Duration: 1:14
    Rais William Ruto amewatakia Wakenya mema katika msimu huu wa sikukuu na kuwahimiza kuwa na heshima wanaposherehekea Krismasi na Mwaka Mpya. Akizungumza katika video aliyopachika leo kwenye mitandao ya kijamii, Rais Ruto alisema huku mwaka wa 2025 ukifikia kikomo, Kenya imeafikia maendeleo muhimu. Aidha, aliwaonya madereva kuwa waangalifu ili kuepusha ajali. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive