- 549 viewsMswaada wa kufadhili Bunge la Marekani uliopitishwa Jumamosi na kusainiwa na Rais Joe Biden uliepusha serikali kufungwa na utaiwezesha serikali kuendelea na kazi zake hadi katikati ya mwezi Novemba. Hata hivyo Rais alionya kuhusu hali hiyo kujirudia tena. Ungana na mwandishi wetu akukuletea hoja ya Rais Biden kuhusu kuepuka kutokea mzozo mwengine. Endelea kusikiliza... #mswaada #ufadhili #bunge #marekani #rais #joebiden #serikali #mzozo #voa #voaswahili - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Rais Biden awaasa Warepublikan kuepusha mzozo mwengine wa kupelekea serikali kufungwa
- 9 May 2025 - Confusion abounded after conflicting reports regarding the operational status of the Music Copyright Society of Kenya (MCSK) CEO Ezekiel Mutua were released to the public.
- 9 May 2025 - Church bells echoed out as Catholics congregated in the Peruvian capital on Thursday to celebrate the election of American-born Pope Leo XIV, who left his mark after years of service in the Andean country.
- 9 May 2025 - Kenya and the United Arab Emirates (UAE) have signed seven agreements aimed at deepening bilateral cooperation between the two nations.
- 9 May 2025 - The nine family members who perished in a suspected arson attack in Ugunja, Siaya County will be laid to rest today (Friday).
- 9 May 2025 - The nine family members who perished in a suspected arson attack in Ugunja, Migori County will be laid to rest today (Friday).
- 9 May 2025 - Pope Leo XIV will celebrate mass Friday, the day after becoming the first US head of the Catholic Church, with the world watching for signs of what kind of pope he will be.
- 9 May 2025 - Residents of Nyangores in Chepalungu Constituency, Bomet County, are asking the county government to urgently repair a bridge that continues to endanger the lives of students and pupils.
- 9 May 2025 - Ukraine's parliament voted Thursday to ratify a long-awaited minerals deal with the United States, an agreement Kyiv hopes will pave the way for future military support from Washington.
- 9 May 2025 - Action for Sustainable Change (AFOSC Kenya) has condemned the recent killing of women and children in Banisa, Mandera County, terming it a gross violation of human rights. In a statement, AFOSC expressed outrage over the incident saying the targeting of…
- 9 May 2025 - The agreement also sought transformation in Kenya's military.