- 1,218 viewsRais Joe Biden Alhamisi aliwasihi Wamarekani kukubali matokeo ya uchaguzi wa rais wa Jumanne, ambapo Rais wa zamani Donald Trump alimshinda mrithi wa Biden, Makamu Rais Kamala Harris. Ameahidi kukabidhi madaraka kwa Trump, ambaye anachukua hatamu za uongozi, ambaye aliwashawishi wafuasi wake kuandamana hadi kwenye jengo la bunge wakati wajumbe walipokuwa wanarasimisha ushindi wa Biden 2020. Rais Joe Biden jana Alhamisi aliahidi kukifanya kipindi cha mpito cha mrithi wake Rais mteule Donald Trump kuwa na utaratibu mzuri. Pia ameomba umoja baada ya kushindwa kwa mgombea aliyempendelea, Makamu Rais Kamala Harris. Joe Biden, Rais wa Marekani: “Watu wamepiga kura na kuchagua viongozi wao, na walifanya hivyo kwa amani. Sisi tuko katika demokrasia, nia ya watu siku zote ndiyo inashinda.” Trump, katika hotuba yake ya ushindi siku moja kabla, pia alisisitiza umoja, wakati akielezea njia ya wazi miongoni mwa wapiga ambayo imempa yeye ushindi mzuri. #rais #donaldtrump #kamalaharris #wafuasi #voaelections #voaelections2024
Rais Biden awasihi Wamarekani kukubali matokeo ya uchaguzi wa rais
- 5 Aug 2025 - Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
- 5 Aug 2025 - Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
- 5 Aug 2025 - Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
- 5 Aug 2025 - The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
- 5 Aug 2025 - The meeting comes about a month after the Registrar of Political Parties reaffirmed Uhuru as the Party Leader.
- 5 Aug 2025 - Since his arrival in the USA, Gachagua has visited Boston, Massachusetts, Maryland and Seattle.
- 5 Aug 2025 - The pastor had been suspended over allegations of misconduct.
- 5 Aug 2025 - National Council for Population and Development warned that Kenya is not adequately prepared to support its ageing population
- 5 Aug 2025 - According to the CS, all schools will be affected.
- 5 Aug 2025 - This comes days after the application window for the September intake closed.