- 426 views
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta ametoa wito kwa wakenya kuja pamoja ili kuwasaidia wenzao waliokumbwa na maafa ya mafuriko kote nchini. Kupitia taarifa rasmi kwa vyombo vya habari hii leo, Kenyatta amewarai wahudumu wa afya wa kujitolea wajitokeze ili kuwasaidia wakenya wanaohitaji matibabu kutokana na mgomo wa madaktari unaoendelea. Wakati huo huo, kiongozi wa azimio Raila Odinga amekosoa namna serikali ya kitaifa inavyoshughulikia maafa ya mafuriko akisema inatoa taswira ya mkanganyiko serikalini na kulaumu ujenzi wa miundombinu dhaifu.
Rais mstaafu Kenyatta atoa wito kwa wakenya kuwasaidia wenzao waliokumbwa na maafa ya mafuriko
- 21 May 2024 - Two Kenyans have filed a case under a certificate of urgency seeking court orders to stop the transition from National Health Insurance Fund (NHIF) to Social Health Authority (SHA) pending a hearing and determination of the case.
- 21 May 2024 - Reading Time: 3 minutes The International Monetary Fund w*rned Britain’s government on Tuesday, May 21, 2024, that it was on course to miss its […]
- 21 May 2024 - "Only God knows who will become what so let's remain united."
- 21 May 2024 - Mavoko Muundani Residents Association has called for a review of the regularisation process.
- 21 May 2024 - This year’s ranking is an improvement from the ninth place in 2022.
- 21 May 2024 - They pretended to be in a position to sell him an excavator crane.
- 21 May 2024 - The visit commenced with Brigadier Oliver Bryant paying a courtesy call to the VCDF Lieutenant General John Omenda.
- 21 May 2024 - The number of applicants dropped at the same time the govt is rolling out policies to restore sanity on Kenyan roads.
- 21 May 2024 - Coaching can lead to significant improvements in performance, confidence and well-being.
- 21 May 2024 - Notably, the unemployment segment lacks close to Sh75.5 billion (0.5% of GDP)