Skip to main content
Skip to main content

Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta alitoa rambirambi zake na kumpa heshima za mwisho Hayati Raila Odinga

  • | Citizen TV
    38,648 views
    Duration: 5:50
    Msisimko mkubwa ulitanda katika Uwanja wa Nyayo wakati Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta alipokuwa akitoa rambirambi zake na kumpa heshima za mwisho Hayati Raila Amollo Odinga. Mapokezi ya aina yake kutoka kwa waombolezaji yalimlazimu Kenyatta kusitisha hotuba yake kwa muda mfupi, baada ya kushangazwa na ukubwa wa umati uliomkaribisha kwa vifijo.