- 15,619 views
Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta amevunja kimya chake dhidi ya shutuma za serikali ya Rais William Ruto kuwa serikali iliyotangulia imechangia hali ngumu ya maisha nchini. Uhuru sasa akimtaka Rais Ruto kukoma kumlaumu wakati ambapo anashindwa na majukumu yake ya kupunguza gahrama ya maisha. Rais huyu mstaafu akizungumza alipohudhuria ibada na viongozi wa upinzani eneo la Mwingi kaunti ya Kitui pia amesema atasalia katika muungano wa Azimio na hata tishwa kuondoka kwenye muungano huo.
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta apuuza lawama kuwa alichangia uchumi mbaya
- - LIVE| TV47 Matukio ››
- 12 Dec 2023 - A court on Monday ruled that a man accused of burning down the South African parliament in 2022 is unfit to stand trial due to schizophrenia.
- 12 Dec 2023 - The health ministry in the Hamas-run Gaza Strip said Monday the death toll of the Israel-Hamas war has risen to 18,205 in the Palestinian territory.
- 12 Dec 2023 - Yaccine Bono of Morocco was voted the best goalkeeper in 2023 following his steller performance in last year's FIFA World Cup and at sevilla.
- 12 Dec 2023 - The gang was protecting the circumcisers who were carrying out FGM in the forest.
- 12 Dec 2023 - Nairobi in list of African cities to receive Sh500m to fight air pollution
- 12 Dec 2023 - Project for 10,000 housing units in limbo as clan now claims targeted land
- 12 Dec 2023 - No need to elect deputy governor when there is a vacancy: Senate
- 12 Dec 2023 - Cost of living, weakening shilling expected to be top in Ruto address
- 12 Dec 2023 - CBK inks deal with European lender to ease climate funding
- 12 Dec 2023 - Family wait for slain hero's body, five decades on