- 49,895 viewsRais-mteule wa Marekani, Donald Trump Jumatano alikwenda White House kwa mara ya kwanza baada ya miaka minne kukutana na Rais anayendoka mamlakani Joe Biden. Biden alimkaribisha Trump kwa ziara ya kawaida, kuonyesha kuwa Januari 20 kutakutwa na makabidhiano ya amani ya madaraka katika demokrasia ya Marekani kati ya kiongozi wa sasa wa Marekani na mtendaji mkuu anayeingia katika wadhifa huo. Utamaduni wa wa kumkaribisha rais anayeingia madaraka ni moja ya jambo ambalo Trump hakulifanya baada ya Biden kumshinda mwaka 2020. Mkutano wa Jumatano kati ya watu hao wawili ulikuja wakati Trump akichukua kuunda utawala wake. “Ndiyo, Bwana Rais-mteule na rais wa zamani Donald Trump, hongera sana na natazamia kRama nilivyosema, kuw na makabidhiano ya amani ya utawala. Tutafanya kila kituo tunachoweza kukidhi kile unachokihitaji na ndiyo tutapata fursa ya kuzungumza kuhusu baadhi ya mambo hayo hivi leo. Karibu, karibu tena.” “Ahsante sana. Siasa ni ngumu. Na katika nyakati nyingi, si sehemu nzuri sana katika dunia. Lakini ni dunia nzuri ya leo na nashukuru sana. Kipindi cha mpito kitakuwa hakina tatizo mambo yatakwenda vizuri na nashukuru sana kwa hilo, Joe,” amesema Rais-mteule Trump. Mke wa Rais Jill Biden alijiunga na mume wake kumklaki rais-mteule alipowasili White House. White House imesema alimpa Trump barua ya pongezi aliyomuandikia mke wake, Melania, na kuelezea kuwa timu yake iko tayari kusaidia katika kipindi cha mpito. #rais #donaldtrump #kamalaharris #wafuasi #voaelections #voaelections2024
Rais mteule Trump akutana na Rais Biden
- - Taarifa za Biashara ››
- 18 Jun 2025 - The gunmen attacked after dark and chased farmer Fidelis Adidi away from the central Nigerian village of Yelwata. The next morning, he returned to find the charred remains of one of his two wives and four of his children.
- 18 Jun 2025 - Togo has suspended broadcasts of French state-funded international news outlets RFI and France 24 for three months, its communications authority said on Monday, accusing them of a lack of impartiality and rigour.
- 18 Jun 2025 - Russia launched dozens of drones and missiles at Kyiv in the early hours of Tuesday, killing at least 10 people and wounding dozens of others, as negotiations faltered between Kyiv and Moscow.
- 18 Jun 2025 - Detectives investigating the murder of blogger Albert Ojwang’ were yesterday sifting through the call data records (CDR) to establish any possible communication between Deputy Inspector General of Police Eliud Lagat and the officers linked to the death…
- 18 Jun 2025 - The Senate and the National Assembly have, for the third time, failed to agree on equitable revenue sharing for county governments in the 2025-26 financial year, with both houses maintaining hardline stances during ongoing mediation. During the June 17…
- 18 Jun 2025 - A group of former political prisoners has called on Raila Odinga’s opposition faction to withdraw from the broad-based government, arguing this would pave the way for forming a new administration. The group – including prominent figures such as Oginga…
- 18 Jun 2025 - From pitching tents to the sought-after events planner
- 18 Jun 2025 - CAK eyes forensic lab, stricter laws to enhance consumer protection
- 18 Jun 2025 - Is Ruto fully in charge or is he held captive by allies in government?
- 18 Jun 2025 - Don't demonise entire police service because of a few rogue elements