Rais Paul Kagame akubali kukutana na Rais Felix Tshisekedi
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Angola tete Antonio amesema Jumatatu jioni kwamba Rais Paul Kagame wa Rwanda amekubali kukutana na mwenzake wa Jamhiri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa mazungumzo kuhusu hali ya usalama mkashariki ya Congo.
Antonio alizungumza na waandishi habari baada ya Rais Kagame kukutana na mwenyeji wake Joao Lourenco katika ikulu Lunda kwa mazungumzo juu ya ushirikiano kati ya nchi zao mbili.
Wakati wa mkutano huo walikubaliana kwamba Rais Kagame ataweza kukutana na Rais Tshisekedi katika wakati utakaofikiwa na wapatanishi," amesema Antonio
Ofisi ya rais wa Rwanda kwenye ujumbe wake katika ukurasa wake wa X imeeleza kwamba wakuu hao wamekubali juu ya hatua muhimu kuelekea kutanzua sababu msingi wa ugomvi na haja ya kuheshimu utaratibu wa makubaliano ya Luanda na Nairobi wa kupatikana Amani na utulivu katika kanda nzima.
"Ujumbe wa Rwanda ulikubali kimsingi na ujumbe wa Congo kwamba mawaziri wao watafanya kazi pamoja ili kufikia lengo hilo," amesema Antonio.
Mwishoni mwa mwezi Februari, Antonio anasema Rais Tshisekedi kimsingi ameshakubali kukutana na mwezake wa Rwanda. Mara ya mwisho viongozi hao kukutana ilikua Februari 16 kando ya mkutano wa
viongozi wa Umoja wa Afrika mjini Addis Ababa wakati wa mkutano mdogo wa kilele ulotayarishwa na Rais Lourenco. - AFP
#goma #kivukaskazini #jimbo #waasi #m23 #raia #makombora #sake #gavana #cirimwani #mejajenerali #voa #voaswahili #luanda #angola #mpatanishi #raiswaangola #teteAntonio #felixtshisekedi #paulkagame #rwanda
29 Apr 2024
- The directive followed the postponement of the schools' opening date.
29 Apr 2024
- County Security and Intelligence Committees (CSICs) across the country were ordered to immediately enforce the directive.
29 Apr 2024
- After migrating to the UK, she has become an active participant in city politics serving in the City’s council.
29 Apr 2024
- Roads and Transport Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has pleaded with Kenyans to heed all safety directives issued by the national and county governments on the ongoing floods to avert further loss of lives.
29 Apr 2024
- Several people are feared dead after an improvised explosive device (IED) detonated at the centre of Elwak town, Mandera County on Monday.
29 Apr 2024
- Several people are feared dead after an improvised explosive device (IED) detonated at the centre of Elwak town Marsabit County on Monday.
29 Apr 2024
- African leaders on Monday called for rich countries to commit record contributions to a low-interest World Bank facility for developing nations that they rely on to help fund their development and combat climate change.
29 Apr 2024
- Nairobi Governor Johnson Sakaja now says that his administration will give priority to residents of Nairobi City Council (Kanjo) estates when the affordable houses are ready.
29 Apr 2024
- Embattled Bomas of Kenya CEO Peter Gitaa has pleaded not guilty to eight counts of failure to comply with procurement laws.
29 Apr 2024
- The directive followed the postponement of the schools' opening date.
29 Apr 2024
- Motorists plying the Mai Mahiu-Suswa/Narok highway and the Mai Mahiu - Naivasha road have been advised to look for alternative routes after debris was swept into the roads following Sunday night's heavy downpour.
29 Apr 2024
- In March 2024, the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) released its corruption index survey, in which KEBS was identified as one of the top three most corrupt public entities.
29 Apr 2024
- Mathare Member of Parliament (MP) Anthony Oluoch urged President William Ruto to address the flood situation in the country and declare it a national disaster.