Rais Putin na Prince Salman watoa wito kwa wanachama wa OPEC+ kupunguza uzalishaji mafuta
Rais wa Russia Vladimir Putin na Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman wametoa wito Alhamisi kwa wanachama wote wa OPEC+ kujiunga na makubaliano ya kupunguza uzalishaji mafuta, wakisema ni kwa faida ya wazalishaji na uchumi mpana wa kimataifa.
Putin alifanya mkutano wa dharura mjini Riyadh na mwanamfalme wa Saudia siku ya Jumatano baada ya ahadi ya OPEC+, ambayo ni Jumuiya ya Nchi zinazouza Nje Petroli (OPEC) na washirika wakiongozwa na Russia, kupunguza pato zaidi.
Saa chache baada ya mazungumzo ya ana kwa ana ya Putin na mwanamfalme wa Saudia anayejulikana kwa jina la MbS, Ikulu ya Kremlin ilitoa taarifa ya pamoja ikielezea kwa kina mazungumzo kati yao kuhusu mafuta, OPEC+, vita vya Gaza na Ukraine na hata mpango wa nyuklia wa Iran.
Taarifa ya Kremlin aidha ilieleza kuwa pande hizo mbili zilipongeza ushirikiano wa karibu kati yao na juhudi zilizofanikiwa za nchi za OPEC+ katika kuimarisha uthabiti wa soko la mafuta duniani.
Saudi Arabia na Urusi ndio wauzaji wakubwa wa mafuta duniani.
#russia #kremlin #vladimirputin #rais #sheikh #mohammedbinZayed #alnahyan #saudiarabia #abudhabi #prince #mohammedbinsalman
18 May 2024
- Detectives noted they were in the process of conducting investigations.
18 May 2024
- The Catholic church has changed its rules on judging miracles as it seeks to avert scandals. The rules come into effect on Sunday, May 19.
18 May 2024
- The county has set two conditions for landowners who want to enjoy the waiver.
18 May 2024
- The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
18 May 2024
- Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
18 May 2024
- EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
18 May 2024
- Fico was gravely injured after being shot in the small town of Handlova on Wednesday
18 May 2024
- The Ministry of Health Saturday issued an advisory on possible health risks in schools during heavy rains and potential flooding. The Principal Secretary for Public Health and Professional Standards Mary Muthoni is urging all school administrators,…
18 May 2024
- Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
18 May 2024
- Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
18 May 2024
- The suspects had been slaughtering 30 donkeys near River Sagana.
18 May 2024
- Detectives noted they were in the process of conducting investigations.
18 May 2024
- The MP asked Raila to heed to the cries of suffering Kenyans