Rais Putin na Prince Salman watoa wito kwa wanachama wa OPEC+ kupunguza uzalishaji mafuta
Rais wa Russia Vladimir Putin na Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman wametoa wito Alhamisi kwa wanachama wote wa OPEC+ kujiunga na makubaliano ya kupunguza uzalishaji mafuta, wakisema ni kwa faida ya wazalishaji na uchumi mpana wa kimataifa.
Putin alifanya mkutano wa dharura mjini Riyadh na mwanamfalme wa Saudia siku ya Jumatano baada ya ahadi ya OPEC+, ambayo ni Jumuiya ya Nchi zinazouza Nje Petroli (OPEC) na washirika wakiongozwa na Russia, kupunguza pato zaidi.
Saa chache baada ya mazungumzo ya ana kwa ana ya Putin na mwanamfalme wa Saudia anayejulikana kwa jina la MbS, Ikulu ya Kremlin ilitoa taarifa ya pamoja ikielezea kwa kina mazungumzo kati yao kuhusu mafuta, OPEC+, vita vya Gaza na Ukraine na hata mpango wa nyuklia wa Iran.
Taarifa ya Kremlin aidha ilieleza kuwa pande hizo mbili zilipongeza ushirikiano wa karibu kati yao na juhudi zilizofanikiwa za nchi za OPEC+ katika kuimarisha uthabiti wa soko la mafuta duniani.
Saudi Arabia na Urusi ndio wauzaji wakubwa wa mafuta duniani.
#russia #kremlin #vladimirputin #rais #sheikh #mohammedbinZayed #alnahyan #saudiarabia #abudhabi #prince #mohammedbinsalman
16 Aug 2025
- Homicide detectives have planned exhumations.
16 Aug 2025
- The placement body urged the students to take the message seriously.
16 Aug 2025
- MCAs exchanged blows during Governor Mutai's impeachment proceedings.
16 Aug 2025
- Wiper party leader Kalonzo Musyoka has accused President William Ruto of stifling the freedom of the Judiciary and right of citizens to political association in recent government crackdowns that target dissent.
16 Aug 2025
- President William Ruto has called on Harambee Stars fans to maintain discipline during the team's Sunday match against Zambia at the Kasarani Stadium in Nairobi.
16 Aug 2025
- The African Union has backed a campaign to end the use by governments and international organisations of the 16th-century Mercator map of the world in favour of one that more accurately displays Africa's size.
16 Aug 2025
- China urged Cambodia and Thailand to continue efforts towards restoring a lasting peace at their border as soon as possible, a Chinese foreign ministry statement said on Friday as it summarised an earlier trilateral meeting.
16 Aug 2025
- Mali's military-led government has arrested two generals and a French national, accusing them of participating in an alleged plot to destabilise the West African nation, according to a government statement and state-owned media.
16 Aug 2025
- Indonesia will launch a broader crackdown on the illegal exploitation of natural resources after a survey found that palm plantations on 3.7 million hectares (14,300 square miles) were operating in violation of the law, President Prabowo Subianto said…
16 Aug 2025
- U.S. President Donald Trump’s administration is discussing a refugee admissions cap of around 40,000 for the coming year with a majority allocated to white South Africans, according to two U.S. officials briefed on the matter and an internal refugee…
16 Aug 2025
- Government and civil service should have been doing this for 12 years. Now five people will recommend solutions based on Nadco’s imperfect proposals?
16 Aug 2025
- “A total of 1,100 registered groups from Nairobi submitted proposals for their empowerment programmes or projects, all approved, all funded, all received,” he stated in a post.
16 Aug 2025
- Enock Andanje collapsed and died on Friday while attending a widows’ empowerment event.