Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto aagiza vita dhidi ya matumizi ya pombe na dawa za kulevya

  • | KBC Video
    15,337 views
    Duration: 5:27
    Rais William Ruto ametangaza vita dhidi ya uraibu wa pombe na mihadarati. Rais Ruto alisema tatizo hilo limekithiri na sasa linatishia maadili ya kijamiii, utendakazi na usalama wa taifa hili. Kiongozi wa taifa kwenye hotuba yake ya kuulaki mwaka mpya kwa wakenya aliahidi kuimarisha kitengo cha kukabiliana na dawa za kulevya katika azma ya kutokomeza tatizo hilo nchini. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive