- 77 views
Rais William Ruto ameagiza wizara zote kuongoza katika shughuli ya upanzi wa miti katika kipindi cha miezi 6 ijayo kuanzia Jumatatu ili kufanikisha ajenda ya serikali ya kuafikia asilimia 30 ya utandu wa miti humu nchini kufikia mwaka wa 2032. Akiongea baada ya kuwaongoza wakenya katika shughuli ya kitaifa ya upanzi wa miti katika msitu wa Kiambicho, Kaunti ya Murang'a, Rais akizifariji familia zilizopoteza wapendwa wao kutokana na mafuriko, alisema kuwa njia pekee ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kama vile mafuriko na ukame, ni kupanda miti akiwahimiza wakenya kuunga mkono mpango huo. Na kama anavyotuarifu Timothy Kipnusu, Rais Ruto wakati uo huo alisema serikali inaendelea kuhamisha watu walionyemelea maeneo yaliyo karibu na mito.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais Ruto aagiza wizara zote kuongoza katika upanzi wa miti kwa miezi 6 ijayo
- - birthday ››
- - hype ››
- - Preach ››
- - Vaibu 2 ››
- - Guest vaibu ››
- - Boutross Munene ››
- - gjo ››
- - Msanii 1 ››
- - Msanii 2 ››
- - THE 1982 COUP SCARS ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 24 Aug 2025 - Residents of Sagegi in Suna East, Migori County, have raised concerns over a three-month power outage that has affected them socially and economically.
- 24 Aug 2025 - The Kenya Left Alliance (KLA), a new coalition of social justice organisations, has announced plans to field candidates for all elective seats in the 2027 general elections, positioning itself as an alternative to the country’s dominant political…
- 24 Aug 2025 - Two guerrillas arrested after a truck bomb attack in Cali that killed six civilians and wounded more than 60 face aggravated homicide and other charges, Colombia's prosecutor's office said Saturday.
- 24 Aug 2025 - The Orange Democratic Movement (ODM) party has mourned the death of Mathew Lempurkel Lekidime, the former Member of
- 24 Aug 2025 - The government has announced it will reinstate chiefs and assistant chiefs in Kirinyaga County who had been interdicted following the deaths of 17 people after consuming illicit alcohol.
- - Two dead in central Mexico from heavy rains, flooding
- 24 Aug 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has expressed deep sorrow following the sudden passing of former Laikipia North Member
- 24 Aug 2025 - A first-term lawmaker was kicked out after walking in unannounced to the residence of a high-ranking govt official.
- 24 Aug 2025 - Kenya first diagnosed the first case of HIV in 1984. This came with extreme fear and stigma similar to what we recently experienced during the early stages of Covid-19 pandemic.
- 24 Aug 2025 - At least 158 cholera deaths have been recorded in Sudan's South Darfur since the end of May, the health ministry of its paramilitary-controlled state government said Saturday.