- 44 views
Rais William Ruto aliungana na raia wa Tanzania kuadhimisha miaka 60 ya muungano kati ya iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Zanzibar. Hafla hiyo iliyoandaliwa na rais Samia Suluhu Hassan ilifanyika katika uwanja wa kitaifa wa Uhuru, jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wengine wa nchi na serikali kutoka Jumuiya ya maendeleo ya eneo la Kusini mwa Afrika na Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kisha Rais Ruto ataelekea nchini Zimbabwe kwa ziara rasmi ya siku mbili. Ziara hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa kisiasa, kiuchumi, kijamii na kitamaduni kati ya nchi hizo mbili. Akiwa nchini Zimbabwe Rais Ruto atakuwa mgeni wa heshima katika maonesho ya 64 ya kimataifa ya biashara ya Zimbabwe huko Bulawayo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Rais Ruto ahudhuria sherehe nchini Tanzania
- - Citizen TV Live ››
- - Wito wa kuvunja KPRL ››
- 7 May 2024 - Three suspected drug traffickers were on Tuesday arrested in Mombasa and Kilifi counties as police recovered cocaine and heroin worth a combined street value of Ksh.3.7 million.
- 7 May 2024 - At least 238 people have so far lost their lives due to the ongoing heavy rains across the country which have led to floods.
- 7 May 2024 - The Kenya Meteorological Department has forecasted that various parts of Nairobi will experience moderate to heavy rainfall starting from Tuesday afternoon.
- 7 May 2024 - Kenya and Somalia have committed to deepen their bilateral relations and economic ties in trade and investment with a view of boosting the economy of both nations.
- 7 May 2024 - Water washed away several homes in the early hours of last Monday, prompting emergency responses from the national and county governments, which have been camped at the site for the past 24 hours.
- 7 May 2024 - Prime CS Musalia Mudavadi has urged Kenyans to embrace the culture of saving for the country to strive economically.
- 7 May 2024 - The sweeping law aims to protect women in the 27-nation EU from gender-based violence, forced marriages, female genital mutilation and online harassment.
- 7 May 2024 - Seven suspects have been apprehended in different parts of Lamu County which has led to the seizure of approximately 928 grams of cocaine estimated to be worth Ksh.3.7 million.
- 7 May 2024 - Additional eight fatalities in the last 24 hours.
- 7 May 2024 - Installation of the solar panels was part of Ksh651 million allocated to the State Department.