- 237 views
Rais William Ruto ametoa wito kwa viongozi duniani kuharakisha juhudi za kukomesha njaa na kubadili mifumo ya uzalishaji chakula duniani. Akizungumza kwenye kongamano la umoja wa mataifa la kutathmini mifumo ya uzalishaji chakula linaloandaliwa jijini Addis Ababa, Ethiopia Ruto alisema kuwa ufanisi ulioko hauna usawa kwani mamilioni ya watu bado wanaathirika kutokana na njaa na utapimlo hasa katika nchi zinazostawi. Rais alitoa ombi la ufadhili wa kifedha kwa wakulima wenye mashamba madogo madogo na kujumuishwa kwa ubunifu wa kidijitali kama vile mpango wa M-PESA wa humu nchini kujenga chumi jumuishi na thabiti zaidi za chakula. Mwanahabari wetu Ben Chumba anatuarifu zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais Ruto alihutubia kongamano Addis Ababa, Ethiopia
- 29 Jul 2025 - The National Youth Service (NYS) is on the verge of collapse as it operates with negative working capital, according to a new report. A report by Auditor General Nancy Gathungu reveals that as of June 30, 2024, total assets amounted to Ksh3.3 billion…
- 29 Jul 2025 - A wave of insecurity has gripped Molo town and its surrounding areas, prompting alarm among residents who are now calling on authorities to take urgent action. Locals are urging the police to intensify night patrols and the county government to urgently…
- 29 Jul 2025 - “It is a miracle,” that is all the mother of a Kenyan held in Saudi Arabia for more than a decade before his release last week could say. In a conversation with People Daily on July 28, 2025, an elated Dorothy Kweyu Munyakho was still trying to come to…
- 29 Jul 2025 - At a time President Kenyatta was keen on blocking public servants from doing business with State, a tax dispute reveals his family business empire's links to the construction of elevated highway.
- 29 Jul 2025 - The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) said yesterday that it is considering eliminating voter cards as a mandatory requirement for voting in the 2027 General Election. The proposal stems from concerns that some foreigners,…
- 29 Jul 2025 - Gachagua and Kalonzo allies allege plot to assassinate them
- 29 Jul 2025 - KenGen's wind power project in Marsabit faces new hurdles
- 29 Jul 2025 - More action is needed to address growing mental health crisis
- 29 Jul 2025 - Prices soften as clothes stores record growth
- 29 Jul 2025 - Education system on the brink as slashed funding threatens free learning