- 1,804 views
Rais William Ruto sasa amempa waziri wa uchukuzi Kipchumba Murkomen mwaka mmoja kuhakikisha kuwa ajali za barabarani nchini zinapungua. Akizungumza katika uzinduzi wa kanuni mpya za usalama wa barabarani hii leo, Rais Ruto alisema kuwa ni jukumu la wizara ya uchukuzi kukaza kamba katika utekelezwaji wa kanuni za usalama ili kupunguza maafa barabarani. Haya yanajiri huku takwimu za hivi punde zikiashiria kuwa zaidi ya watu elfu moja wamepoteza maisha katika muda wa miezi minne iliyopita. Kanuni zilizozinduliwa hii leo zinashirikisha matumizi ya teknolojia barabarani
Rais Ruto ampa mwaka mmoja Waziri Murkomen kuwajibika
- 30 Apr 2024 - President William Ruto on Tuesday morning convened a Special Cabinet meeting to deliberate on additional measures required to mitigate the effects of the ongoing torrential rains on life, property and livelihoods on the people of Kenya.
- 30 Apr 2024 - Wa Iria who has been on the EACC radar for weeks was forbidden from contacting any of the prosecution witnesses and ordered to deposit his travel documents in court.
- » Mwaura was speaking to the press in Mombasa where he confirmed that 73 people were injured in the tragedy and30 Apr 2024 - The state will settle hospital bills for victims on the Monday flash floods in Mai Mahiu, government spokesperson Isaac Mwaura has said.
- 30 Apr 2024 - African Union Commission Chairperson Moussa Faki has sent a message of condolences to Kenya following the deadly floods that have claimed over 160 lives thus far.
- 30 Apr 2024 - High Court has directed the National Health Insurance Fund (NHIF) to settle a court dispute it has with a firm owned by former Naivasha Member of Parliament John Mututho.
- 30 Apr 2024 - High Court has directed the National Health Insurance Fund (NHIF) to settle a court dispute it has with a firm owned by former Naivasha Member of Parliament John Mututho.
- 30 Apr 2024 - The High Court has ruled that over Ksh.13 million seized from businesswoman Nancy Kigunzu, also known as ‘Mathe wa Ngara’ be forfeited to the state.
- 30 Apr 2024 - Flash floods in Mai Mahiu have claimed over 45 lives and left over 53 others missing. Search and rescue efforts are ongoing.
- 30 Apr 2024 - This follows the fertiliser scandal that affected farmers across the country.
- 30 Apr 2024 - The clarification comes barely a day after the CS changed opening dates.