- 1,804 views
Rais William Ruto sasa amempa waziri wa uchukuzi Kipchumba Murkomen mwaka mmoja kuhakikisha kuwa ajali za barabarani nchini zinapungua. Akizungumza katika uzinduzi wa kanuni mpya za usalama wa barabarani hii leo, Rais Ruto alisema kuwa ni jukumu la wizara ya uchukuzi kukaza kamba katika utekelezwaji wa kanuni za usalama ili kupunguza maafa barabarani. Haya yanajiri huku takwimu za hivi punde zikiashiria kuwa zaidi ya watu elfu moja wamepoteza maisha katika muda wa miezi minne iliyopita. Kanuni zilizozinduliwa hii leo zinashirikisha matumizi ya teknolojia barabarani
Rais Ruto ampa mwaka mmoja Waziri Murkomen kuwajibika
- 6 Aug 2025 - Busia Senator Okiya Omtatah has outlined a bold vision for Kenya should he clinch the presidency in the 2027 General Election.
- 6 Aug 2025 - The price of beef in China has trended downwards in recent years, with analysts blaming oversupply and a lack of demand as the world's second largest economy has slowed.
- 6 Aug 2025 - The charity Sentebale was at the centre of an explosive boardroom dispute in March and April when chairperson Sophie Chandauka publicly accused Harry, the youngest son of King Charles III, of "bullying".
- 6 Aug 2025 - According to the World Health Organisation, postpartum haemorrhage is diagnosed when a woman loses more than 500 millilitres of blood within 24 hours of a vaginal delivery; this is known as primary PPH.
- 6 Aug 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has warned his opposition co-principals against ditching the political outfit, saying that they will suffer dire isolation.
- - Ruto insists Hustler Fund is successful, terms critics as 'merchants of doom'
- 6 Aug 2025 - A Nairobi court has granted an application by the Director of Public Prosecutions (DPP) to detain a Ugandan woman extradited to Kenya over drug trafficking.
- 6 Aug 2025 - A report released this week has claimed that the Hustler Fund is fundamentally flawed and needs to be scrapped.
- 6 Aug 2025 - NAKURU, Kenya, Aug 6 – Huawei Digi-Truck Program has extended its services to Nyamira County where 160 young people graduated from a transformative a four-week digital skills training. Nominated MP, Irene Mayaka said the program aimed at equipping the…
- 6 Aug 2025 - Ethekon was speaking in Nairobi during a roundtable discussion between IEBC, Kenya Editors Guild, Kenya Union of Journalists convened by Electoral Law and Governance Institute for Africa.