- 453 views
Jenerali Francis Ogolla ameenziwa kama mtu aliyejitolea ,aliyependa taifa na kazi yake na mnyenyekevu. Wakizungumza wakati wa hafla ya kijeshi ya kumpa heshima zake za mwisho, wengi wamemtaja kama mtu aliyeishi maisha ya kupigiwa mfano, asiyetaka makuu na mwenye bidii. Rais William Ruto ameahidi kuanzisha mikakati ya kununua vifaa vya kisasa vya kijeshi ili kuepuka mikasa kama uliopelekea kifo cha Ogolla na maafisa wengine wa KDF. Kinara wa Azimio Raila Odinga hata hivyo ametaka uchunguzi wa kina cha mkasa kufanyika mara moja ,akimtaja mwendazake kama shujaa wa taifa.
Rais Ruto aongoza wanajeshi katika hafla ya kumpa heshima Jenerali Francis Ogolla
- - Citizen TV Live ››
- - Wito wa kuvunja KPRL ››
- 7 May 2024 - Three suspected drug traffickers were on Tuesday arrested in Mombasa and Kilifi counties as police recovered cocaine and heroin worth a combined street value of Ksh.3.7 million.
- 7 May 2024 - At least 238 people have so far lost their lives due to the ongoing heavy rains across the country which have led to floods.
- 7 May 2024 - The Kenya Meteorological Department has forecasted that various parts of Nairobi will experience moderate to heavy rainfall starting from Tuesday afternoon.
- 7 May 2024 - Kenya and Somalia have committed to deepen their bilateral relations and economic ties in trade and investment with a view of boosting the economy of both nations.
- 7 May 2024 - Water washed away several homes in the early hours of last Monday, prompting emergency responses from the national and county governments, which have been camped at the site for the past 24 hours.
- 7 May 2024 - Prime CS Musalia Mudavadi has urged Kenyans to embrace the culture of saving for the country to strive economically.
- 7 May 2024 - The sweeping law aims to protect women in the 27-nation EU from gender-based violence, forced marriages, female genital mutilation and online harassment.
- 7 May 2024 - Reading Time: < 1 minute As we’ve been reporting, the Rafah and Kerem Shalom crossings – the key entry points for aid into Gaza – remain […]
- 7 May 2024 - The government has reported to the World Bank that it has concluded implementing reforms under the sixth Development Policy Operation (DPO6).
- 7 May 2024 - Seven suspects have been apprehended in different parts of Lamu County which has led to the seizure of approximately 928 grams of cocaine estimated to be worth Ksh.3.7 million.