- 439 views
Rais William Ruto amepongeza usimamizi wa shirika la misitu nchini kwa kuongeza mapato ya shirika hilo katika kipindi cha chini ya miaka miwili . Rais Ruto ambaye amezungumza katika hafla ya kufuzu kwa maafisa wa misitu eneo la Gilgil kaunti ya Nakuru ,amesifia mashirika ya kiserikali ambayo anasema yameongeza mapato yao, jambo ambalo limesaidia kupunguza matumizi ya fedha zilizotengwa na serikali. Ruto aidha amewarai wakenya kuwa na imani na nchi yao na kuwataka wasiskize uvumi. Mahafala mia tano sabini na wanne wamefuzu hii leo ambapo ni idadi kubwa zaidi ya waliofuzu tangu kenya ilipopata uhuru.
Rais Ruto apongeza idara ya misitu nchini
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has reappointed former judge of the East African Court of Justice Charles Nyachae as the Chairperson of the Kenya School of Government for a three-year term.
- 12 Jul 2025 - A Director at Mara Ndovu Lodge Limited was arraigned before the Milimani Law Courts over charges of defrauding an unsuspecting victim out of Ksh.48.8 million in a sham investment deal.
- 12 Jul 2025 - The leadership of two road agencies has been shaken following the resignation of two top officials on Friday.
- 12 Jul 2025 - The government has unveiled a bold plan to expand coffee farming across regions as part of a national revival effort for the once-thriving sector.
- 12 Jul 2025 - Democracy for the Citizens Party (DCP) party leader Rigathi Gachagua has said that the opposition is finalizing evidence against President William Ruto for submission to the International Criminal Court.
- 12 Jul 2025 - Raila's comments come hours after Gachagua dismissed Odinga's calls for a national dialogue.
- 12 Jul 2025 - This comes days after Ruto asked police to shoot goons in the leg.
- 12 Jul 2025 - The Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development, and Special Programmes, Geoffrey Ruku, has called on the Kenya Red Cross Society to pursue accreditation from the Green Climate Fund (GCF) to strengthen its role in building climate-…
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has said that his administration has successfully stabilised Kenya’s economy, lifting the country from the brink of a debt crisis and propelling it into the top six largest economies in Africa. Speaking on Saturday, July 12, 2025…
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has said that his administration has successfully stabilised Kenya’s economy, lifting the country from the