- 1,655 views
Rais William Ruto ametangaza kuwa serikali itaanza kutekeleza mpango wa Afya kwa Wote kuanzia januari mosi mwakani, akisema kuwa vikao vya umma kuhusu kanuni za mpango huu vitaanza wiki ijayo. Rais William Ruto sasa akiagiza shirika la usambazaji dawa na huduma za matibabu KEMSA na lile la MEDS , kushirikiana katika kununua na kusambaza vifaa vya matibabu kote nchini kwa lengo la kupunguza gharama za huduma za afya. Rais alizungumza kaunti ya Machakos wakati wa kuzinduliwa rasmi kwa maabara ya kisasa. Maabara hiyo ni ya pili ya aina yake nchini na inatarajiwa kuimarisha utafiti wa kimaabara nchini
Rais Ruto asema mpango wa afya kwa wote utaanza Januari mwakani
- 10 May 2024 - Russian President Vladimir Putin proposed the reappointment on Friday of Prime Minister Mikhail Mishustin, a technocrat who has helped him through the war in Ukraine and the economic challenges wrought by Western sanctions over Moscow's invasion.
- 10 May 2024 - President William Ruto now says his first stab at stable employment, hence a steady income, was when he was elected as a Member of Parliament.
- 10 May 2024 - The United Nations General Assembly on Friday is set to back a Palestinian bid to become a full U.N. member by recognizing it as qualified to join and sending the application back to the U.N. Security Council to "reconsider the matter favorably."
- 10 May 2024 - UAE has pledged to donate Ksh.2 billion to aid Kenya in managing the aftermath of the devastating floods ravaging many parts of the country.
- 10 May 2024 - Chad's state election body said on Thursday interim President Mahamat Idriss Deby had won the May 6 presidential election outright with more than 61% of the vote, citing provisional results, even as his main challenger declared himself the winner.
- 10 May 2024 - A resue team was quickly dispatched to the scene of the tragedy.
- 10 May 2024 - Wangui had to spend outside in the cold in Nairobi, braving the harsh weather and cold environment.
- 10 May 2024 - Linturi claimed he had no role in testing the fertiliser nor was he involved in procument.
- 10 May 2024 - BURN Manufacturing (BURN) has donated six ECOA institutional clean cookstoves and dry foods to feed over 2,000 people/per day affected by the ongoing floods in the country.
- 10 May 2024 - The announcement was made as the government declared May 10 National Tree Planting Day.