- 38 views
Rais William Ruto amesema ulimwengu unakabiliwa na changamoto tatu kuu ambazo ni mabadiliko ya tabia nchi, kudidimia kwa bio-anuwai, uchafuzi wa mazingira na taka za plastiki. Akihutubia kikao cha sita cha baraza kuu la mazingira la Umoja wa Mataifa jijini Nairobi, Rais Ruto alisema changamoto hizo zinaweza tu kutatuliwa kupitia mbinu mahsusi za kimataifa. Wakati huo huo, Rais Ruto alitoa wito wa ushirikiano wa kimataifa katika kubuni madhubuti za kudhibiti taka akibainisha kuwa ni muhimu kudumisha uchumi wa majini na mifumo yake ya ikolojia. Alvin Kaunda na taarifa kamili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais Ruto ataja mabadiliko ya tabianchi kuwa changamoto kuu inayosakama ulimwengu
- 15 May 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has unveiled his much-anticipated political outfit, the Democracy for the Citizens Party (DCP).
- 15 May 2025 - The petition, filed as Bench Petition No. E565 of 2024, was scheduled for May 15, 2025.
- 15 May 2025 - Nandi County Senator Samson Cherargei has opined that Kenya's opposition's expected launch of a new political faction will not successfully topple President William Ruto from power.
- 15 May 2025 - Kenya is among 59 nations that are expected to benefit from the deal.
- 15 May 2025 - On Wednesday, Nairobi County shut down the freemasons church over land rate arrears.
- 15 May 2025 - Two Kenyan voters are seeking interim conservatory orders to suspend any consideration, vetting, or approval of the seven nominees by the National Assembly.
- 15 May 2025 - The man argued that the constitutional changes would improve executive stability and enhance institutional coherence.
- 15 May 2025 - Lawmakers in the United States Senate are questioning Kenya’s loyalty to America following President William Ruto’s recent trip to China.
- 15 May 2025 - Moi University has issued redundancy letters to hundreds of employees as it reports that the institution is over staffed.
- 15 May 2025 - Police officers could be seen shooting in the air to disperse the crowd.