- 423 views
Rais William Ruto amewataka viongozi wa Kenya Kwanza kusitisha siasa za uchaguzi mkuu wa 2027 na badala yake kuwatumikia wakenya waliowachagua. Rais aliyeongoza mkutano wa pamoja wa maafisa wakuu wa serikali na wabunge kutoka mrengo wa Kenya Kwanza alisema serikali itaendelea kufanya maamuzi magumu yanayolenga kuboresha uchumi wa nchi akihusisha changamoto za sasa za kiuchumi kama zilizotokana na maamuzi mabaya ya hapo awali.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais Ruto ataka siasa za uchaguzi kusitishwa
- 26 Jun 2025 - The Nyanza region experienced mixed reactions yesterday as Gen Z protesters marked the anniversary of the June 25, 2024, demonstrations that left scores killed by police during anti-government protests. Unlike previous demonstrations characterised by…
- 26 Jun 2025 - President William Ruto and ODM leader Raila Odinga shared a platform in Kilifi County, where they called for national unity. The two spoke during the funeral of Governor Gideon Mung’aro’s father, Mzee Gideon Baya Mung’aro, in Kilifi. In a message urging…
- 26 Jun 2025 - Maraga keeps his word to 'walk with Gen Z' as he builds 2027 momentum
- 26 Jun 2025 - It's yet another moment of faith as Kipyegon aims to inspire the world
- 26 Jun 2025 - Political appointees to lose board jobs in Cabinet's parastatal reforms
- 26 Jun 2025 - Property firms, telcos risk fines for locking out small internet firms from buildings
- 26 Jun 2025 - A nation pauses: Gen Zs force unofficial holiday to honour fallen protesters
- 26 Jun 2025 - State sued over razor wire barricade and a missing blogger
- 26 Jun 2025 - Digital literacy powered Gen Z uprising, uplifted dissenting voices
- 26 Jun 2025 - Gen Z protesters paralyse Thika Road in city march