Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto athibitisha kuamuru maafisa 4 wa Nairobi Hospital wakamatwe

  • | Citizen TV
    1,253 views
    Duration: 3:41
    Tukirejelea utata unaokumba Nairobi Hospital ni kuwa, Rais William Ruto amesema kuwa aliamuru kukamatwa na kuondolewa mamlakani kwa maafisa wanne wanaohusishwa na usimamizi wa hospitali hiyo kwa madai ya ufisadi na utumizi mbaya wa mamlaka. Akizungumza huko Mlima Elgon wakati wa ziara yake eneo la magharibi, Rais Ruto alisisitiza kwamba kamwe hatakubali wale anaodai kuwa 'mafisadi' kuongoza hospitali hiyo ambayo inatambulika kwa kutoa huduma za hali ya juu za matibabu.