Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto azindua rasmi ujenzi wa SGR kutoka Naivasha hadi Malaba

  • | Citizen TV
    5,171 views
    Duration: 3:22
    Rais William Ruto amezindua rasmi ujenzi wa reli ya SGR kutoka Naivasha hadi Malaba kupitia Kisumu, kwenye mradi utakaoigharimu serikali shillingi Billioni 500. Hafla ya uzinduzi ilifanyika eneo la Emurtoto Narok Mashariki ambako rais amesema kuwa ujenzi huo utakaochukua miaka miwili utawafaidi pakubwa wakenya katika usafirishaji wa mizigo na usafiri.