- 4,834 views
Rais William Ruto amesema Kenya inatazamia kutoa uidhinishaji wa usafiri wa Kielektroniki wa kuingia kwa wingi kwa watalii wa meli za kifahari katika bandari ya Mombasa. Akihutubia wanahabari katika kituo cha meli ya watalii, rais alisisitiza dhamira ya serikali ya kutangaza nchi hii kama kivutio cha utalii kinachopendelewa. Alizitaka sekta binafsi kutumia fursa ya ongezeko la watalii kuwekeza zaidi katika sekta ya kuwakaribisha wageni. Alisema nchi hii inalenga kukaribisha watalii milioni tano ifikapo mwaka wa 2027, kutoka watalii milioni 2.4 mwaka wa 2024.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais Ruto azuru Meli ya kifahari ya Cruise Liner kutoka Norway Mombasa
- - Amerucan Golf Day ››
- 17 Aug 2025 - Following are key quotes from Russian President Vladimir Putin's statement after meeting U.S. President Donald Trump in Alaska on Friday.
- 17 Aug 2025 - A young Palestinian woman who was flown from Gaza to an Italian hospital in a severely emaciated state for treatment has died, the hospital said Saturday.
- 17 Aug 2025 - Social media personality Faustine Baba Talisha, on Saturday, August 16, 2025, continued marking the fifth anniversary of his
- 17 Aug 2025 - Inside the power games behind Governor Mutai fresh ouster bid
- 17 Aug 2025 - Auditor General queries Sakaja's Dishi na County project
- 17 Aug 2025 - Ruto's shift towards China reveals costly miscalculation on US ties
- 17 Aug 2025 - How background check cost ex-Equity Bank's staff plum job
- 17 Aug 2025 - Court battles bleed billions from public universities
- 17 Aug 2025 - Cheer Harambee Stars with an eye on the fly in our soup
- 17 Aug 2025 - Hustler accuses MPs of corruption, naysayers now await deliverance