- 7,680 viewsDuration: 5:31Katika mojawapo ya siasa za kupakana tope nchini, viongozi wakuu wa kisiasa waliamua kuvuana nguo hadharani, wakirushiana cheche za lugha chafu na matusi makali. Rais William Ruto na aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagua wakiongoza msururu wa matusi ambayo hayajawahi kushuhudiwa kwenye historia ya ofisi kuu nchini. tunakuletea matamshi ya viongozi hawa pasi na kuhariri maneno yao.