Skip to main content
Skip to main content

Rais Samia: Nimezungumza na Ruto, wakija Tz nachapa mikwaju,wakija Kenya unachapa mikwaju

  • | BBC Swahili
    16,177 views
    Duration: 1:26
    “Tumezungumza na Rais Ruto jinsi ya kudeal na hawa watoto wetu watovu wa adabu” - Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ameshauriana na mgeni wake Rais William Ruto wa Kenya kuhusu mbinu za kukabiliana na wanaharakati wa haki za kibinadamu aliowaita’watovu wa adabu’ - - #tanzania #kenya #williamruto #samiasuluhuhassan #genzSubscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw