Rais wa Marekani Donald Trump Jumanne alimpokea Mfalme wa Jordan Abdullah II White House kwa mazungumzo ya kidiplomasia.
Viongozi hawa wawili walizungumzia masuala ya kieneo, ikiwemo mustakbali wa Gaza, ambayo imekabiliwa na mashambulizi ya angani ya Israeli wakati mgogoro wa wanamgambo wa Hamas ukiendelea.
Mkutano huo umefanyika muda mfupi baada ya Rais Trump kuonya kuwa "balaa kubwa itaanza" endapo Hamas, kikundi kilichopo katika orodha ya ugaidi, hakitawaachia mateka waliobakia ifikapo Jumamosi mchana.
#trump #jordan #gaza #kingabdullah #voa
16 Jun 2025
- Tanzanian opposition leader Tundu Lissu told a court on Monday he had been denied his basic legal rights and that he would defend himself against a treason charge that carries the death penalty.
16 Jun 2025
- The Director of Public Prosecutions (DPP) has told the court that Nairobi Central Police Station OCS Samson Taalam interfered with crucial evidence related to an ongoing investigation into the death of Albert Ojwang in police custody.
16 Jun 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has urged the Kenyan youth to avoid taking to the streets on June 25 to commemorate the deadly aftermath of the anti-tax protests , warning that there is a plot to kill them.
16 Jun 2025
- Former Chief Justice David Maraga now wants president William Ruto to take action following the heinous murder of teacher Albert Ojwang', saying the buck stops with him as the head of government.
16 Jun 2025
- The government is in the process of reviewing the current labour laws to align them with the emerging issues in the world of work, with an aim of advancing social justice for all.