- 7,023 viewsDuration: 28:10Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema haoni maana ya kukutana na Volodymyr Zelenskyy, na anadhani kwamba ukraine inataka mazungumzo ili kusimamisha mashambulizi ya kijeshi nchini humo. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw