Skip to main content
Skip to main content

Rais William Ruto amuomboleza hayati Raila Odinga kama kiongozi aliyesimama na taifa

  • | Citizen TV
    4,077 views
    Duration: 3:31
    Rais William Ruto amemuomboleza hayati Raila Odinga kama kiongozi aliyesimama na taifa wakati lilipomuhitaji. Rais Ruto ambaye aliongoza taifa katika kumuomboleza hayati Odinga katika uga wa Nyayo leo, alimshukuru Odinga kwa kumsaidia serikali yake ilipoyumbayumba.