Skip to main content
Skip to main content

Raphael Tuju afurushwa kwa nguvu katika mali yake Karen

  • | Citizen TV
    20,264 views
    Duration: 3:18
    Waziri wa zamani Raphael Tuju alifurushwa kwa nguvu na maafisa wa polisi usiku wa kuamkia Jumamosi kutoka katika eneo la biashara la Dari mtaani Karen, Nairobi. Tukio hilo linahusishwa na mzozo wa kisheria kuhusu mnada wa mali yake kutokana na deni la mkopo wa shilingi bilioni 2.2 analodaiwa na benki ya EADB. Hata hivyo, Tuju anasisitiza kuwa kufurushwa kwake hakukufuata sheria.