- 220 views
Mamlaka ya malipo ya kustaafu -RBA- imesema itatumia njia zote za kisheria kuhakikisha taasisi za serikali ambazo hazijatuma pensheni ya wafanyikazi wao kwenye akaunti husika zimefanya hivyo kwa haraka. Mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo Charles Machira amesema hatua hii inalenga kampuni za kibinafsi ambazo haziwazilishi pesa za wafanyikazi wao kwa mpango ya pensheni. Akizungumza mjini Garissa wakati wa kutoa uhamasisho kwa umma kuhusu umuhimu wa kujiunga na mipango ya pensheni, Machira alisema ni 26% ya wafanyikazi pekee wamejisajili kupokea pensheni yaani kati ya watu kumi, watu saba wako kwenye hatari ya ufukara baada ya kustaafu.
RBA yaonya wanaokosa kuwasilisha makato ya kustaafu
- - Duniani Leo ››
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- - Duniani Leo ››
- 1 May 2024 - World Bank President Ajay Banga said he expects donor countries to meet a request by African leaders to make record contributions to a low-interest facility for developing nations, saying these were not handouts but investments in the future.
- 1 May 2024 - A 35-year-old man has been locked up at Bondo police station after he was arrested in possession of seeds of bhang.
- 1 May 2024 - The Islamic State group has claimed a gun attack on a minority Shiite mosque in western Afghanistan that killed six people on Monday.
- 1 May 2024 - Florence Akinyi, a resident, said they encountered snakes of different types and sizes on a daily basis.
- 1 May 2024 - Former Murangá Governor Mwangi Wa Iria has been remanded at Industrial Area Prison after pleading not guilty to various corruption charges including abuse of office, conflict of interest, unlawful acquisition of public property and money laundering.
- 1 May 2024 - The highways authority noted that the crackdown will affect all highways across the country.
- 1 May 2024 - "Niko na watoto kwa nyumba nisaidieni. Nataka tu kutoka na watoi."
- 1 May 2024 - A year on, President's vow to ratify ILO conventions that would shield the workers from exploitation and abuse, gathers dust
- 1 May 2024 - The Widows Protection Bill is set to be tabled in Siaya County Assembly on May 7
- 1 May 2024 - Says government has 10 camps for displaced persons and they are resettling.