- 220 views
Mamlaka ya malipo ya kustaafu -RBA- imesema itatumia njia zote za kisheria kuhakikisha taasisi za serikali ambazo hazijatuma pensheni ya wafanyikazi wao kwenye akaunti husika zimefanya hivyo kwa haraka. Mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo Charles Machira amesema hatua hii inalenga kampuni za kibinafsi ambazo haziwazilishi pesa za wafanyikazi wao kwa mpango ya pensheni. Akizungumza mjini Garissa wakati wa kutoa uhamasisho kwa umma kuhusu umuhimu wa kujiunga na mipango ya pensheni, Machira alisema ni 26% ya wafanyikazi pekee wamejisajili kupokea pensheni yaani kati ya watu kumi, watu saba wako kwenye hatari ya ufukara baada ya kustaafu.
RBA yaonya wanaokosa kuwasilisha makato ya kustaafu
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - More than 14 million of the world's most vulnerable people, a third of them small children, could die because of the Trump administration's dismantling of US foreign aid, research projected on Tuesday.
- 1 Jul 2025 - Bangladesh on July 1 marks one year since students launched protests that culminated weeks later in the overthrow of the government.
- 1 Jul 2025 - A middle-aged man shocked an Eldoret court after confessing that he deals in bhang business as his only source of income.
- 1 Jul 2025 - Cameroon's Tourism Minister Bello Bouba Maigari has accepted his party's nomination to seek the presidency in an expected October election, with long-serving President Paul Biya yet to announce whether he plans to run for reelection.
- 1 Jul 2025 - Several protest victims are admitted at KNH.
- 1 Jul 2025 - A team of detectives visited the scene where the body was found as part of the probe into the incident.
- 1 Jul 2025 - Mau Forest complex, Cherangani and Loita water towers are some of the water towers set for investigation.
- 1 Jul 2025 - KEBS has received several complaints.
- 1 Jul 2025 - The woman had a stab wound in the head.
- 1 Jul 2025 - His quest for freedom has been denied at the High Court and Court of Appeal.