Skip to main content
Skip to main content

Red Bonde FC ndio mabingwa wa mchuano huo

  • | Citizen TV
    191 views
    Duration: 48s
    Red Bonde FC waliibuka mabingwa kwa kuilaza Shammah FC bao 1–0 na kutwaa kombe la Tyno Rotino katika uwanja wa kapkoris, kapenguria.