- 17,010 viewsDuration: 2:40Tanzania kwa sasa ipo katika wakati wa kipekee na wenye uzito mkubwa wa kihistoria. Ni kipindi cha kutafakari na kujiuliza maswali magumu kuhusu mustakabali wa taifa dhidi ya ripoti ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025. #bbcswahili #tanzania #Oktoba29 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw