Skip to main content
Skip to main content

Ruto aahidi Kenya kufikia viwango vya maendeleo ya Uchina na Singapore kufikia 2055

  • | Citizen TV
    998 views
    Duration: 1:02
    Rais William Ruto sasa anasema Kenya itafikia viwango vya kimaendeleo ya mataifa ya Uchina na Singapore mwaka wa 2055, akisema anaendelea kuungana na viongozi wakuu nchini kuhakikisha taifa la Kenya linapanda ngazi hiyo.