- 14,858 viewsDuration: 2:48Haya yakijiri, Rais William Ruto amesema kuwa hajutii matamshi yake ya hapo jana yaliyoonekana kujaa matusi na kuwadunisha viongozi wa upinzani. Rais Ruto katika siku ya tatu ya ziara yake eneo la magharibi amesema kuwa ni viongozi hao wa upinzani walioanza siasa za kumpaka tope na yuko tayari kuendelea na siasa hizo.