Skip to main content
Skip to main content

Ruto atangaza mpango wa kupanua barabara ya Nairobi–Nakuru–Mau Summit hadi Malaba

  • | Citizen TV
    4,642 views
    Duration: 2:33
    Rais William Ruto ametangaza mpango wa kupanua barabara iliyoratibiwa kuunganisha Nairobi–Nakuru–Mau Summit hadi mpaka wa Malaba kaunti ya Busia. Ahadi ya rais ikifuatia malalamishi ya wananchi walioibua maswali mengi kuhusu mfumo wa ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi unaotumika kufadhili mradi huo