Skip to main content
Skip to main content

Ruto atetea hazina ya miundombinu, awataka viongozi wa UDA na ODM kushirikiana

  • | Citizen TV
    1,333 views
    Duration: 2:43
    Rais William Ruto ametetea hazina ya miundombinu akisema ndio suluhu ya kukwamua maendeleo katika maeneo ambayo yametengwa tangu jadi. Akizungumza huko Mombasa, Rais Ruto pia amewataka viongozi wa vyama vya UDA na ODM kusitisha malumbano baina yao na kuweka juhudi zao kutekeleza Agenda 10 walizoafikiana ili kujiandaa kwa kipindi cha uchaguzi ujao.