Skip to main content
Skip to main content

Ruto atoa wito wa kuondoa visa kanda ya Afrika mashariki na kusini ili kukuza biashara

  • | Citizen TV
    2,360 views
    Duration: 2:22
    Rais William Ruto ametoa wito kwa Mataifa ya Afrika Mashariki na Kusini, kuondoa VISA za usafiri kati yao ili kuboresha uchumi. Akizungumza katika kikao cha Marais wanachama wa COMESA jijini Nairobi, rais Ruto ambaye alichukua rasmi uongozi wa Jumuia hiyo, amesema ushuru wa juu ni changamoto katika uboreshaji wa biashara miongoni mwa wanachama