- 1,612 viewsDuration: 2:35Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja sasa anasema serikali ya kaunti itawaandamana maafisa walioidhinisha ujenzi wa majumba kwenye ardhi ya mpito wa mito. Gavana Sakaja akionya kuwa watakaopatikana na hatia watashtakiwa. Onyo hili linajiri huku serikali ya kaunti ikielekeza ubomoaji wa ardhi hizi katika maeneo ya Lavington na Kilimani.