- 83 viewsMamilioni ya Wakenya wanaendelea kulalamikia ongezeko la gharama ya maisha, hali ambayo inaelezwa, kama inayosababishwa, kwa kiasi kikubwa, na juhudi za serikali ya nchi hiyo, za kudhibiti deni la umma, linalozidi kuongezeka. Haya yanajiri wakati ambapo thamani ya sarafu ya Kenya, imeimarika kwa mara ya kwanza, ndani ya kipindi cha miezi kadhaa. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Sarafu ya Kenya yaimarika huku Wakenya walalamika kuhusu ongezeko la gharama ya maisha.
- 28 Apr 2025 - US President Donald Trump said Sunday he wanted Russia's Vladimir Putin to "stop shooting" in Ukraine and sign a peace deal, one day after the US leader met Ukraine's president at the Vatican.
- - Namibia dismisses minister accused of rape
- 28 Apr 2025 - 'Criminal justice powers are not toys to be played around with. '
- 28 Apr 2025 - At least six candidates have expressed interest in dethroning President William Ruto.
- 28 Apr 2025 - The suspect in a Canadian car-ramming attack that left 11 dead at a Filipino street party was charged with murder, police said Sunday, adding that additional charges were anticipated. The suspect, identified as Kai-Ji Adam Lo, 30, of Vancouver, was…
- 28 Apr 2025 - Three Nobel Peace Prize-winning groups campaigning to eliminate nuclear weapons joined forces on Monday to urge the US and Russian presidents to meet and agree on significant denuclearisation. The joint appeal came from Japan’s atomic bomb survivors’…
- 28 Apr 2025 - The announcement comes days after Russian Chief of Staff Valery Gerasimov praised the "heroism" of North Korean troops.
- 28 Apr 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i is set to return to his Gusii region on Friday after a year’s absence. Matiang’i, who is positioning himself for a 2027 presidential run, will go on a meet-the-people tour before officially declaring his…
- 28 Apr 2025 - The Health ministry is expected to publish standardised guidelines for payment by Monday next week
- 28 Apr 2025 - The BBC's analysis of more than 5,000 images also shows that those killed there were unarmed and not posing a threat.