sarafu za kidijitali zinafanya kazi vipi?
Mamlaka nchini Nigeria zimeshutumu kampuni ya sarafu za kidijitali ya Binance kwa kujishughulisha na utakatishaji wa fedha.
Aidha mmoja wa wakurugenzi katika kampuni hiyo aliyekuwa amekamatwa mwezi uliopita sasa anasakwa na polisi baada ya kutoroka kizuizini.
Binance imesitisha shughuli za kibiashara kupitia sarafu ya Naira ya Nigeria.
Katika miaka ya hivi karibuni, sarafu za kidijitali maarufu kama 'Cryptocurrency' zimekuwa zikipata umaarufu duniani na barani Afrika.
Nigeria ni taifa lenye matumizi makubwa zaidi ya sarafu hizi barani Afrika.
Lakini sarafu hii inafanya kazi vipi? Leila Mohammed anaelezea.
#bbcswahili #nigeria #sarafukidigitali
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
27 Jul 2024
- The teachers noted that the would be monitoring their demands from July 31.
27 Jul 2024
- Rain is expected on Saturday and on Sunday in some parts of the country.
26 Jul 2024
- The case of Rex has taken yet another twist, after IPOA failed to identify the officer, now the family says the body was tampered with.
27 Jul 2024
- G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
27 Jul 2024
- Attacks on Kamala Harris and Soipan Tuya highlight a global trend of undermining women's achievements through baseless accusations and cyberbullying.
27 Jul 2024
- Says his administration and the county government will partner in delivering the projects
27 Jul 2024
- The 44-year-old was found lying face down and unresponsive.
27 Jul 2024
- The teachers noted that the would be monitoring their demands from July 31.
27 Jul 2024
- Increased cases of crimes directly linked to irresponsible drinking, says commissioner.
27 Jul 2024
- Rain is expected on Saturday and on Sunday in some parts of the country.
27 Jul 2024
- Raila's allies nominated to the Cabinet will face an uphill task once they are in place.
27 Jul 2024
- Cemastea gives hands-on learning to help students excel in STEM
27 Jul 2024
- What if President Ruto wakes up and fires the CSs like he did the other day?