sarafu za kidijitali zinafanya kazi vipi?
Mamlaka nchini Nigeria zimeshutumu kampuni ya sarafu za kidijitali ya Binance kwa kujishughulisha na utakatishaji wa fedha.
Aidha mmoja wa wakurugenzi katika kampuni hiyo aliyekuwa amekamatwa mwezi uliopita sasa anasakwa na polisi baada ya kutoroka kizuizini.
Binance imesitisha shughuli za kibiashara kupitia sarafu ya Naira ya Nigeria.
Katika miaka ya hivi karibuni, sarafu za kidijitali maarufu kama 'Cryptocurrency' zimekuwa zikipata umaarufu duniani na barani Afrika.
Nigeria ni taifa lenye matumizi makubwa zaidi ya sarafu hizi barani Afrika.
Lakini sarafu hii inafanya kazi vipi? Leila Mohammed anaelezea.
#bbcswahili #nigeria #sarafukidigitali
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
5 May 2024
- As the country continues to experience heavy rainfall, most roads have been flooded hampering transport and disrupting daily activities.
5 May 2024
- The ruling party is conducting its first-ever nationwide grassroots elections as it gears for the 2027 general election.
5 May 2024
- Kenyans were urged to stay prepared and safe as heavy rainfall is expected.
5 May 2024
- As the country continues to experience heavy rainfall, most roads have been flooded hampering transport and disrupting daily activities.
5 May 2024
- Ferry services were suspended as a result of Cyclone Hidaya.
5 May 2024
- Doctors reject return-to-work plan
5 May 2024
- More families out in the cold amid fears flood crisis is getting worse
5 May 2024
- Ruto pushes House to entrench CDF in law
5 May 2024
- Boy in agony after he's beaten, burnt by father
5 May 2024
- Ruto allies helped cement the idea of a silent handshake, asserting Raila must toe his line. Amisi faults Kenya Kwanza for thinking their support for Raila would buy his silence.
5 May 2024
- It comes a year after he wed wife Rebecca at a private ceremony in Kericho on May 6, 2023.
5 May 2024
- US embassy said successful Diversity Visa selection does not guarantee visa or interview.
5 May 2024
- The decision to remove three deputy UDA party leader slots appears as setback for Mudavadi.